杏MAP导航

Tafuta

Kuekekea Mlango Mtanatifu Kuekekea Mlango Mtanatifu  (Vatican Media)

Mahujaji milioni 24 wamefika Roma kwa Jubilei ya Matumaini

Baraza la Kipapa la Uinjilishaji limetoa data kuhusu idadi ya waamini ambao wamefika kwenye hija ya Jubilei kufikia sasa.

Vatican News

Zaidi ya miezi minane imepita tangu Baba Mtakatifu Francisko alipofungua Mlango Mtakatifu wa Kanisa kuu la Mtakatifu Petro tarehe 24 Desemba, kuanza rasmi Mwaka Mtakatifu wa Matumaini. Idadi ya mahujaji waliofika Roma kusherehekea Jubilei sasa imefikia milioni 24, kulingana na Baraza la Kipapa la Unjilishaji

Katekesi ya Papa tarehe  6 Septemba

Wakati huo huo, Jumamosi  tarehe 6 Septemba 2025, saa 4:00 asubuhi, masaa ya Ulaya Papa Leo XIV atafanya Katekesi ya Jubilei katika Uwanja wa Mtakatifu Petro, na wakati huo huo Mlango Mtakatifu utabaki umefungwa, lakini baadaye, utafunguliwa na washiriki wataweza kupita bila kurudi nyuma.

Milini 24 ya mahujaji wamekwisha vuka Mlango Mtakatifu
04 Septemba 2025, 09:10