杏MAP导航

Tafuta

Baba Mtakatifu Leo XIV, Jumamosi tarehe 5 Julai 2025 amemteuwa Askofu Msaidizi Simon Peter Kamomoe kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Wote nchini Kenya Baba Mtakatifu Leo XIV, Jumamosi tarehe 5 Julai 2025 amemteuwa Askofu Msaidizi Simon Peter Kamomoe kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Wote nchini Kenya 

Askofu Msaidizi Simon Peter Kamomoe Jimbo Katoliki Wote, Kenya

Askofu Msaidizi Simon Peter Kamomoe wa Jimbo kuu la Nairobi ameteu kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Wote nchini Kenya. Askofu Msaidizi Simon P. Kamomoe wa Jimbo Katoliki la Wote alizaliwa tarehe 26 Novemba 1962 huko Gatundu, Wilya ya Kiambu, Jimbo kuu la Nairobi. Tarehe 18 Juni 1994 akapewa Daraja Takatifu ya Upadre kwa ajili ya Jimbo kuu la Nairobi. Baba Mtakatifu Francisko tarehe 13 Februari 2024 akamteuwa kuwa Askofu Msaidizi Jimbo kuu la Nairobi.

Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Vatican.

Baba Mtakatifu Leo XIV, Jumamosi tarehe 5 Julai 2025 amemteuwa Askofu Msaidizi Simon Peter Kamomoe wa Jimbo kuu la Nairobi, Kenya kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Wote nchini Kenya. Itakumbukwa kwamba Askofu Msaidizi Simon Peter Kamomoe wa Jimbo Katoliki la Wote alizaliwa tarehe 26 Novemba 1962 huko Gatundu, Wilaya ya Kiambu, Jimbo kuu la Nairobi.

Askofu Msaidizi Simon Peter Kamomoe Jimbo Katoliki la Wote, Kenya
Askofu Msaidizi Simon Peter Kamomoe Jimbo Katoliki la Wote, Kenya

Baada ya masomo na majiundo yake ya Kipadre, tarehe 18 Juni 1994 akapewa Daraja Takatifu ya Upadre kwa ajili ya Jimbo kuu la Nairobi. Baba Mtakatifu Francisko tarehe 13 Februari 2024 akamteuwa kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo kuu la Nairobi, Kenya. Na ilipo gota tarehe 5 Julai 2025, Baba Mtakatifu Leo XIV akamteuwa kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Wote, lililoko nchini Kenya.

Uteuzi Kenya
06 Julai 2025, 14:53