Papa apokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi wa Kazakhstan
Vatican News
Baba Mtakatifu Francisko, Ijumaa tarehe 7 Februari 2025 amepokea Barua za utambulisho wa Balozi wa Kazakhstan, Mhesh. Timur Primbetov ili kuwakilisha Nchi yake Mjini Vatican.
Alizaliwa tarehe 17 Septemba 1973, ameona na ana mtoto mmoja.
Mafunzo ya Elimu katika Chuo Kikuu cha Kitaifa, Al-Farabi cha Kazakhstan (1996).
Nyadhifa nyingine: ni pamoja na kuwa Katibu wa Tatu,wa Idara ya Ulaya na Amerika, MAE (1997 - 1999), Katibu wa Tatu, na baadaye wa Pili, Balozi wa Hispania (1999 – 2004), Mtaalam Mkuu, Inspekta, Mkuu wa Kitengo cha Protokali za Rais wa Jamhuri ya Khazak(2004 – 2008)
Makamu Mkuu wa Ofisi ya Protokali ya Rais wa Jamhuri Khaza. (2008 – 2018); Waziri-Mshauri,Balozi wa Shirikisho la Urusi (2018 – 2019); Balozi wa Lettonia (2019 – 2023); Balozi wa Mexico (2023 – 2024).